Al-Kitab (Swahili)

KSh 200

Kitabu cha Vitabu, kozi ya Biblia kwa njia ya posta.

Kozi ya maarifa juu ya Biblia na mafundisho yake iliyotengenezwa na Wakristo ili kuwasaidia Waislamu wanaotaka kuitazama imani ya Biblia kama vile Wakristo waonavyo.

Description

Al-Kitab, Kitabu cha Vitabu, kozi ya Biblia kwa njia ya posta.

Gerhard Nehls, Kur 81

Kozi ya maarifa juu ya Biblia na mafundisho yake iliyotengenezwa na Wakristo ili kuwasaidia Waislamu wanaotaka kuitazama imani ya Biblia kama vile Wakristo waonavyo.